Sera ya matibabu bure kwa mama mjamzito katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeonekana kutiliwa maanani hali ambayo husaidia kupunguza vifo vya mama wajamzito na watoto.




MPANDA
Sera ya matibabu bure kwa mama mjamzito katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi imeonekana kutiliwa maanani hali ambayo husaidia kupunguza vifo vya mama wajamzito na watoto.

Wakizungumza na mpanda redio baadhi ya mama wajawazito wamesema wanaishukuru sarikali kwa kuanzisha sera hiyo kwani  wanatibiwa bure bila usumbufu wowote.

Hata hivyo wameiomba serikali kuboresha huduma ili kupunguza magonjwa mbalimbali kipindi chote cha ujauzito hadi kujifungua.

Niwajibu  wa kila mtu kumlinda mtoto na kuhakikisha anapata huduma zote muhimu ili kumjenga mtoto kimwili na kiakiri.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.