Walio potea wakienda kutafuta uyoga wapatikana


Watoto wa  nne pamoja na mama mmoja  waliopotea tangu 8/1/2018 walipokuwa wameenda kuokota uyoga porini katika  kijiji cha Kambuzi A kata ya Katumba katika halmashauri ya wilaya ya Nsimbo Mkoa wa Katavi wamepatikana.
Akizungumza na Mpanda redio Mwenyekiti wa kijiji cha Kambuzi A Bw Naftali Stephano Amesema amepokea taarifa kutoka kwa mchana mbao mmoja ambaealiwahifadhi watu hao kambini kwake kwa muda baada ya watu hao kusema wamepotea
Mmoja wa wazazi ambao walipotelewa na watoto hao amesema amepokea taarifa za kupatikana kwa watoto hao na mama mmoja na tayali wanafanya utalatibu wa kuwa fuata huko polini

Kumekuwepo na tabia ya wazazi katika maeneo mbalimbali hapa nchini hususani vijiji nyakati za masika kuwa tuma watoto porini kwenda kuokota uyoga hali ambayo hupelekea miongoni mwao kupotea porini 

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.