Raisi wa Rwanda Paul Kagame amewasili nchini kwa ziara ya siku moja.



DAR ES  SALAAM

Raisi wa Rwanda Paul Kagame  amewasili nchini kwa ziara ya siku moja. 

Paul Kagame  amepokelewa na Mwenyeji wake Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ambapo atakuwepo nchini kwa ziara ya siku moja ikiwa na lengo la kuimarisha uhusiano  mzuri kati ya kati ya nchi hizo mbili.

Serikali ya Rwadwa ina mpango wa kuboresha elimu na huduma za afya ili kufikia lengo la utoaji huduma kwa kiwango cha juu na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2020.


 Aidha Raisi wa Tanzania John Magufuli na mgeni wake  Paul kagame wa Rwanda baada ya kupokelewa  uwanja wa ndege Mwalimu Julius Nyerere wameelekea ikulu jijini Dar es salam kwa mazungumzo zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.