Nusura ndege yenye abiria 168 itumbukie baharini Uturuki

Hofu iliwakumba abiria wakati ndege waliyokuwa wakisafiria ilipopoteza mwelekeo kwenye uwanja wa ndege huko Uturuki na kukimbia kwenda mteremko ulio kando ya bahari.
Ndege hiyo ya shirika la Pegasus Boeing 737-800 iliyokuwa na abiria 168, ilikuwa imetoka mjini Ankara na ilitua uwanja wa Trabzon kwenye Black Sea siku ya Jumamosi.Kila mtu aliyekuwa ndani ya ndege hiyo aliondolewa salama, kwa mujibu wa gavana wa mkoa Yucel Yavuz.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.