NAPE AUTABILIA UPINZANI


Jumla ya watoto 1200 na wazazi walezi 506 waishio katika mazingira hatarishi wameibuliwa na kupatiwa huduma katika maeneo mablimbali ya Manispaa ya Mpanda.
Mbunge wa jimbo la Mtama, Mhe. Nape amesema upinzani nchini Tanzania hautaweza hata siku moja kukiangusha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika madaraka kwa kuwa inapofika wakati wa kutafuta dola hawana urafiki na mtu. 

Nape Nnauye amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa hadhara wa kumnadi mgombe ubunge wa jimbo la Longido  siku ya jana kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi ambao unatarajiwa kufanyika leo.  

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.