Maandamano ya ghasia kupinga mfumuko wa bei yaendelea Tunisia

Kumekuwa na muendelezo wa siku tatu wa ghasia za maandamano nchini Tunisia katika mji mkuu wa Tunis na miji mingine ya nchi hiyo.
Polisi wamekuwa wakirusha mabomu ya machozi kwa kundi kubwa la watu ambao wamekuwa wakilalamikia juu ya mfumuko wa bei ambao unaathiri upatikanaji wa mahitaji muhimu.
TunisHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionImekuwa ni kawaida kwa Tunisia kuandamana mwezi Januari
Waziri mkuu , Youssef Chahed amelaani kwa kile alichokiita kuwa ni hakikubaliki kwa kuwepo kwa fujo za waandamanaji.
Kwa upande wao waandamanaji ,nao pia wametoa malalamiko yanayofanana juu ya polisi.
kHaki miliki ya pichaREUTERS
Image captionwatu walalamikia ugumu wa maisha
"Maandamano ni juu ya bei kuwa ghali , wamepandisha, nadhani hii ni hali ngumu sana kubadilika , labda kama rais huyu tutamuondoa"

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.