BODA BODA MKOANI KATAVI WATAKIWA KUSHIRIKI KATIKA VITA YA KUPINGA MIMBA ZA UTOTONI



Na Issack:

Naibu waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia Wazee na Watoto Dk.Faustine Ndugulile,amewataka waendesha pikipiki Mkoani Katavi kushirikiana na serikali ili kutokomeza mimba za utotoni.
Dk.Ndugulile ametoa agizo hilo leo wakati akitunuku vyeti kwa waendsha pikipiki 100 wa Manispaa ya Mpanda waliohitimu mafunzo ya kidhibiti Mimba za utotoni huku akiwataka pia watendaji wa wizara mpaka wilaya kote nchini kutatua shida zinazowakabili madereva hao.
Wakati huo huo Dk.Ndugulile amekabidhi baiskeli tano kwa wasimamizi wa mashauri ya watoto Manispaa ya Mpanda baiskeli ambazo zimetolewa na shirika la JSI la Marekani ili baiskeli hizo zitumike kuwafikia watoto waishio katika mazingira hatarishi.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa waendesha pikpiki Mkoani Katavi Mh.Asalile Mwakabafu amesema wao watapambana 

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.