Baadhi ya vijana katika halmashauli ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wenesema uelewa mdogo kuhusu mikopo inayotolewa na serikali ni kikwazo cha maendeleo.


MPANDA

Baadhi ya vijana katika halmashauli ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi  wenesema uelewa mdogo kuhusu mikopo inayotolewa na serikali ni kikwazo cha maendeleo.

Wakizungumza na Mpanda redio fm kwa nyakati tofauti wamesema milolongo ya namna ya upatikanaji wa mikopo inayowekwa na maafisa maendeleo ya jamii huongeza mbinyo zaidi.

Aidha wameiomba selikari kuingilia kati na kurekebisha mifumo ili kuwe na ushirikishwaji wa moja kwa moja utako enda samaba mba na utoaji wa elimu.

Halmashauri zote nchini hutenga asilimia kumi kwa mgawanyo wa vijana asilimia tano na wanawake asilimia tano.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.