Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa katavi Damasi Nyanda amewataka wananchi kusherekea kwa amani Sikukuu zinazokaribia na kufuata sheria ziliwekwa.





KATAVI
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa katavi Damasi Nyanda amewataka wananchi kusherekea kwa amani   Sikukuu zinazokaribia na kufuata sheria ziliwekwa.

Ameyasema hayo wakati akizungumza na Mpanda Redio na kueleza kuwa jeshi la polisi limejipanga vizuri ili kuhakikisha wananchi wanasherehekea kwa amani bila kuwepo na uvunjifu wa amani.

Aidha amewataka wazazi kuwa makini na watoto wao hasa katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu na kutoa ovyo kuwa watoto hawaruhusiwi kuingia maeneo ya disco.


Wananchi wamekuwa hawaripoti baadhi ya viashiria vya matukio ya uharifu ambayo baadaye yamekuwa yakisababisha madhara suala ambalo amewataka pia kuripoti taarifa hizo.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.