UWEPO WA UMEME WA UHAKIKA NI MAFANIKIO YA TANZANIA YA VIWANDA


Rais John Pombe Magufuli
NA ,Alinanuswe Edward.

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amehutubia wamjumbe wa mkutano mkuu wa33 wa  Jumuia za Tawala za mitaa ALAT.

Amewambia wajumbe wa mkutano huo kuwa suala la kupeleka umeme vijiji kuwa ni endelevu na kwamba katika awamu ya tatu ya mradi wa umeme vijijini REA utavihusisha vijiji 7873.

Ameitaja adhima hiyo kuwa inaenda sambamba na utekelezaji wa ahadi ya Tanzania ya viwanda inayoongozwa na serikali  ya awamu ya tano.


Mkutano huo unaofanyika katika ukumbi wa mwalimu Julius Kambarage Nyerere unaenda na kauli mbiu ya Ardhi kwenye mamlaka ya Serikali za mitaa ni chachu za maendeleo.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.