TUNDULISU AONGEA

Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Antipas Lissu, ameongea na watanzania kwa mara ya kwanza tangu apigwe risasi, na kusema kuwa kama isingekuwa Mungu, maisha yake yangeishia Dodoma.

Akiongea kutoka kwenye kitanda cha hospitali alikolazwa jijini Nairobi, Tundu Lissu amesema anamshukuru Mungu na watanzania wote waliokwenda kumuona na kumuombea.

Comments

Popular posts from this blog

SAKATA LA KATA YA KATUMBA HALMASHAURI YA NSIMBO MKOANI KATAVI KUKOSA DIWANI LAIBUA MJADALA MPANA

MATOKEO YA DARASA LA SABA SHULE ZA SERIKALI CHALI

Wanawake wa kijiji cha Kabuga kata ya Kanoge Wilayani Mpanda/Katavi wamewalaumu viongozi kwa ahadi hewa.